Ezekieli 45:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kuhani atachukua sehemu ya damu ya dhabihu ya dhambi na kuiweka kwenye mwimo wa mlango wa hekalu,+ juu ya zile pembe nne za ukingo unaozunguka madhabahu, na juu ya mwimo wa lango la ua wa ndani.
19 Kuhani atachukua sehemu ya damu ya dhabihu ya dhambi na kuiweka kwenye mwimo wa mlango wa hekalu,+ juu ya zile pembe nne za ukingo unaozunguka madhabahu, na juu ya mwimo wa lango la ua wa ndani.