Ezekieli 45:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye kuhani atachukua sehemu ya damu ya toleo la dhambi na kuiweka kwenye mwimo wa mlango+ wa ile Nyumba na juu ya zile pembe nne za rafu ya madhabahu+ inayozunguka na juu ya mwimo wa lango la ua wa ndani.
19 Naye kuhani atachukua sehemu ya damu ya toleo la dhambi na kuiweka kwenye mwimo wa mlango+ wa ile Nyumba na juu ya zile pembe nne za rafu ya madhabahu+ inayozunguka na juu ya mwimo wa lango la ua wa ndani.