-
Ezekieli 46:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 “‘Ikiwa kiongozi atatoa dhabihu nzima ya kuteketezwa+ au dhabihu za ushirika ziwe toleo la hiari kwa Yehova, atafunguliwa lango linalotazama mashariki, naye atatoa dhabihu yake nzima ya kuteketezwa na dhabihu zake za ushirika kama anavyofanya siku ya Sabato.+ Baada ya kutoka nje, lango linapaswa kufungwa.+
-