-
Ezekieli 46:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 “ ‘Na ikiwa mkuu atatoa toleo la hiari ili liwe toleo zima la kuteketezwa,+ au dhabihu za ushirika ziwe toleo la hiari kwa Yehova, mtu atamfungulia pia lango linaloelekea mashariki,+ naye atatoa toleo lake zima la kuteketezwa na dhabihu zake za ushirika kama vile anavyofanya siku ya sabato.+ Naye atatoka nje, na mtu atalifunga lango baada ya yeye kutoka nje.+
-