3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+
4 Basi mfalme akaenda Gibeoni+ ili kutoa dhabihu huko, kwa maana huko ndiko kulikokuwa mahali pa juu pakuu.+ Sulemani akatoa dhabihu elfu moja za kuteketezwa juu ya madhabahu ile.+