-
Ezekieli 46:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Pamoja na mwanakondoo huyo, kila asubuhi unapaswa kutoa sehemu ya sita ya efa iwe toleo la nafaka, pamoja na sehemu ya tatu ya hini ya mafuta ili inyunyizwe juu ya unga laini kama toleo la kawaida la nafaka kwa Yehova. Hii ni sheria ya kudumu.
-