Ezekieli 46:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na utatoa toleo la nafaka pamoja naye asubuhi baada ya asubuhi sehemu ya sita ya efa na, kwa habari ya mafuta, sehemu ya tatu ya hini ya kuunyunyizia unga laini.+ Toleo la nafaka kwa Yehova ni sheria ya kudumu mpaka wakati usio na kipimo, daima.
14 Na utatoa toleo la nafaka pamoja naye asubuhi baada ya asubuhi sehemu ya sita ya efa na, kwa habari ya mafuta, sehemu ya tatu ya hini ya kuunyunyizia unga laini.+ Toleo la nafaka kwa Yehova ni sheria ya kudumu mpaka wakati usio na kipimo, daima.