Ezekieli 46:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha akaniingiza kupitia njia+ iliyokuwa kando ya lango linaloelekea kwenye vyumba vitakatifu vya kulia chakula* vya makuhani, vilivyotazama kaskazini,+ na hapo nikaona mahali upande wa nyuma kuelekea magharibi.
19 Kisha akaniingiza kupitia njia+ iliyokuwa kando ya lango linaloelekea kwenye vyumba vitakatifu vya kulia chakula* vya makuhani, vilivyotazama kaskazini,+ na hapo nikaona mahali upande wa nyuma kuelekea magharibi.