19 Naye akaniingiza ndani kupitia njia ya kuingilia+ iliyokuwa kando ya lango mpaka kwenye vyumba vitakatifu vya kulia chakula, vile vya makuhani, vilivyoelekea kaskazini,+ na, tazama! hapo palikuwa na mahali, pande zote mbili za nyuma kuelekea magharibi.