Ezekieli 46:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Akaniambia: “Hapa ndipo mahali ambapo makuhani watachemshia dhabihu ya hatia na dhabihu ya dhambi na mahali ambapo wataokea toleo la nafaka,+ ili wasibebe chochote na kukipeleka kwenye ua wa nje na kuwapitishia watu utakatifu.”*+
20 Akaniambia: “Hapa ndipo mahali ambapo makuhani watachemshia dhabihu ya hatia na dhabihu ya dhambi na mahali ambapo wataokea toleo la nafaka,+ ili wasibebe chochote na kukipeleka kwenye ua wa nje na kuwapitishia watu utakatifu.”*+