-
Ezekieli 48:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 “Kando tu ya eneo la makuhani, Walawi watakuwa na sehemu yenye urefu wa mikono 25,000, na upana wa mikono 10,000. (Urefu wote utakuwa 25,000 na upana 10,000.)
-