Ezekieli 48:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Na Walawi watakuwa na fungu,+ karibu kabisa na eneo la makuhani, lenye urefu wa mikono 25,000, na upana wa mikono 10,000; urefu wote ukiwa 25,000, na upana ukiwa 10,000.+
13 “Na Walawi watakuwa na fungu,+ karibu kabisa na eneo la makuhani, lenye urefu wa mikono 25,000, na upana wa mikono 10,000; urefu wote ukiwa 25,000, na upana ukiwa 10,000.+