-
Danieli 6:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Kwa hiyo wakaenda kwa mfalme na kumkumbusha kuhusu marufuku aliyotangaza: “Je, hukutia sahihi marufuku ukisema kwamba kwa siku 30 mtu yeyote atakayemwomba mungu yeyote au mwanadamu yeyote isipokuwa wewe, Ee mfalme, anapaswa kutupwa ndani ya shimo la simba?” Mfalme akasema: “Hivyo ndivyo ilivyo kulingana na sheria ya Wamedi na Waajemi, isiyoweza kufutwa.”+
-