-
Danieli 6:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Mara tu mfalme aliposikia hivyo, alihuzunika sana, akajaribu kutafuta njia ya kumwokoa Danieli; alifanya kila jitihada ya kumwokoa mpaka jua likatua.
-