- 
	                        
            
            Danieli 6:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
20 Alipokaribia shimo hilo, akamwita Danieli kwa sauti ya huzuni. Mfalme akamuuliza Danieli: “Ee Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai, je, Mungu wako unayemtumikia daima ameweza kukuokoa kutoka kwa simba hao?”
 
 -