-
Danieli 6:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Alipokaribia shimo hilo, akamwita Danieli kwa sauti ya huzuni. Mfalme akamuuliza Danieli: “Ee Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai, je, Mungu wako unayemtumikia daima ameweza kukuokoa kutoka kwa simba hao?”
-