Danieli 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini alipokuwa akizungumza nami, nilishikwa na usingizi mzito huku nikiwa nimeanguka chini kifudifudi. Basi akanigusa na kunisimamisha mahali nilipokuwa nimesimama mwanzoni.+
18 Lakini alipokuwa akizungumza nami, nilishikwa na usingizi mzito huku nikiwa nimeanguka chini kifudifudi. Basi akanigusa na kunisimamisha mahali nilipokuwa nimesimama mwanzoni.+