Nahumu 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova anasema hivi: “Ingawa walikuwa na nguvu nyingi na walikuwa wengi,Hata hivyo, wataangamizwa na kutoweka.* Nimekutesa wewe,* lakini sitakutesa tena.
12 Yehova anasema hivi: “Ingawa walikuwa na nguvu nyingi na walikuwa wengi,Hata hivyo, wataangamizwa na kutoweka.* Nimekutesa wewe,* lakini sitakutesa tena.