Nahumu 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova amesema hivi: “Ijapokuwa walikuwa katika hali kamili na wengi walikuwa katika hali hiyo, hata katika hali hiyo watakatwa;+ na mmoja atapita kati. Nami nitakutesa, hivi kwamba nisikutese tena kamwe.+
12 Yehova amesema hivi: “Ijapokuwa walikuwa katika hali kamili na wengi walikuwa katika hali hiyo, hata katika hali hiyo watakatwa;+ na mmoja atapita kati. Nami nitakutesa, hivi kwamba nisikutese tena kamwe.+