18 “Jeuri haitasikiwa tena katika nchi yako, uporaji na mvunjiko ndani ya mipaka yako.+ Na hakika wewe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa.
19 Yehova atajibu na kuwaambia watu wake, ‘Tazama nawapelekea ninyi nafaka na divai mpya na mafuta, nanyi mtaishiba;+ nami sitawafanya tena kamwe kuwa shutuma kati ya mataifa.+