35 Na ikawa kwamba usiku huo malaika wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi+ ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+
36 Na malaika+ wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+