-
Hagai 2:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Basi Hagai akasema: “‘Hivyo ndivyo watu hawa walivyo, na hivyo ndivyo taifa hili lilivyo mbele zangu,’ asema Yehova, ‘na hivyo ndivyo kazi yote ya mikono yao ilivyo; chochote wanachotoa huko ni kichafu.’
-