Zekaria 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wakamwambia malaika huyo wa Yehova aliyekuwa amesimama katikati ya mihadasi: “Tumetembea huku na huku duniani, na tazama! dunia yote imetulia na haina vurugu.”+ Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:11 Mnara wa Mlinzi,6/15/1989, uku. 30
11 Nao wakamwambia malaika huyo wa Yehova aliyekuwa amesimama katikati ya mihadasi: “Tumetembea huku na huku duniani, na tazama! dunia yote imetulia na haina vurugu.”+