Zekaria 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wakamjibu malaika wa Yehova aliyekuwa amesimama katikati ya mihadasi na kusema: “Tumetembea huku na huku duniani,+ na tazama! dunia yote imetulia wala haina usumbufu.”+ Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:11 Mnara wa Mlinzi,6/15/1989, uku. 30
11 Nao wakamjibu malaika wa Yehova aliyekuwa amesimama katikati ya mihadasi na kusema: “Tumetembea huku na huku duniani,+ na tazama! dunia yote imetulia wala haina usumbufu.”+