Zekaria 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo nikamuuliza malaika aliyekuwa akizungumza nami: “Pembe hizi zinamaanisha nini?” Akanijibu: “Pembe hizi ndizo zilizowatawanya watu wa Yuda,+ Israeli,+ na Yerusalemu.”+ Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:19 Mnara wa Mlinzi,6/15/1989, uku. 30
19 Kwa hiyo nikamuuliza malaika aliyekuwa akizungumza nami: “Pembe hizi zinamaanisha nini?” Akanijibu: “Pembe hizi ndizo zilizowatawanya watu wa Yuda,+ Israeli,+ na Yerusalemu.”+