Zekaria 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo nikamwambia malaika aliyekuwa akisema nami: “Hizi ni nini?” Naye akaniambia: “Hizi ndizo zile pembe zilizotawanya Yuda,+ Israeli+ na Yerusalemu.”+ Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:19 Mnara wa Mlinzi,6/15/1989, uku. 30
19 Kwa hiyo nikamwambia malaika aliyekuwa akisema nami: “Hizi ni nini?” Naye akaniambia: “Hizi ndizo zile pembe zilizotawanya Yuda,+ Israeli+ na Yerusalemu.”+