12 Mwishowe Yehoyakini mfalme wa Yuda akatoka kumwendea mfalme wa Babiloni,+ yeye pamoja na mama+ yake na watumishi wake na wakuu wake na maofisa wake wa makao ya mfalme; na mfalme wa Babiloni akamchukua katika mwaka wake wa nane+ wa kuwa mfalme.
11 Na wale watu wengine+ walioachwa nyuma katika jiji na wale waliokimbia, wakamwendea mfalme wa Babiloni na ule umati mwingine, Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni.+