19 Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Mfungo wa mwezi wa nne,+ mfungo wa mwezi wa tano,+ mfungo wa mwezi wa saba,+ na mfungo wa mwezi wa kumi+ zitakuwa pindi za shangwe na kushangilia kwa ajili ya nyumba ya Yuda—sherehe za kushangilia.+ Kwa hiyo pendeni ukweli na amani.’