25 Na katika mwezi wa saba, Ishmaeli+ mwana wa Nethania mwana wa Elishama, aliyekuwa wa uzao wa kifalme,* akaja na wanaume wengine kumi, nao wakampiga na kumuua Gedalia pamoja na Wayahudi na Wakaldayo waliokuwa pamoja naye huko Mispa.+
5 “Waambie watu wote nchini na makuhani, ‘Mlipofunga na kulia kwa sauti katika mwezi wa tano na mwezi wa saba+ kwa miaka 70,+ je, kweli mlifunga kwa ajili yangu?