Malaki 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Na kwa ajili yenu nitamkemea yule anayenyafua,* naye hataharibu mazao ya nchi yenu, wala mzabibu wa shamba lenu hautakosa matunda,”+ asema Yehova wa majeshi.
11 “Na kwa ajili yenu nitamkemea yule anayenyafua,* naye hataharibu mazao ya nchi yenu, wala mzabibu wa shamba lenu hautakosa matunda,”+ asema Yehova wa majeshi.