-
Mathayo 5:47Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
47 Na mkiwasalimu ndugu zenu tu, mnafanya jambo gani lisilo la kawaida? Je, watu wa mataifa hawafanyi vivyo hivyo?
-
-
Mathayo 5:47Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
47 Na mkisalimu ndugu zenu tu, ni jambo gani lizidilo la kawaida mnalofanya? Je, watu wa mataifa pia hawafanyi jambo hilohilo?
-