-
Mathayo 8:27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 Basi wanafunzi wakashangaa na kusema: “Huyu ni mtu wa aina gani? Hata upepo na bahari vinamtii.”
-
-
Mathayo 8:27Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
27 Kwa hiyo wale watu wakawa wenye kushangaa na kusema: “Ni binadamu wa namna gani huyu, hivi kwamba hata pepo na bahari humtii?”
-