-
Mathayo 10:1Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
10 Kwa hiyo akawaita wanafunzi wake kumi na wawili na kuwapa mamlaka juu ya roho wasio safi, kusudi wawafukuze na kuponya kila namna ya maradhi na kila namna ya udhaifu.
-