-
Mathayo 12:26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Vivyo hivyo, ikiwa Shetani anamfukuza Shetani, amegawanyika dhidi yake mwenyewe; basi, ufalme wake utawezaje kusimama?
-
-
Mathayo 12:26Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
26 Katika njia hiyohiyo, ikiwa Shetani afukuza Shetani, amekuwa mwenye kugawanyika dhidi yake mwenyewe; basi, ufalme wake utasimamaje?
-