-
Mathayo 18:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Watumwa wenzake walipoona jambo hilo, wakahuzunika sana, wakaenda kumweleza bwana wao mambo yote yaliyokuwa yametendeka.
-
-
Mathayo 18:31Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
31 Kwa hiyo, watumwa wenzake walipoona mambo yaliyokuwa yametukia, walitiwa kihoro sana, nao wakaenda na kuelewesha wazi kwa bwana-mkubwa wao mambo yote yaliyokuwa yametukia.
-