-
Mathayo 18:32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 Ndipo bwana wake akamwita na kumwambia: ‘Mtumwa mwovu, nilifuta deni lako lote uliponisihi.
-
-
Mathayo 18:32Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
32 Ndipo bwana-mkubwa wake akamwita na kumwambia, ‘Mtumwa mwovu, nilifuta deni lote lile kwa ajili yako, uliponisihi sana.
-