-
Mathayo 26:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Akijua jambo hilo, Yesu akawaambia: “Kwa nini mnataka kumsumbua mwanamke huyu? Amenitendea jambo jema.
-
-
Mathayo 26:10Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
10 Akijua hilo, Yesu akawaambia: “Kwa nini mwajaribu kumsumbua huyo mwanamke? Kwa maana alifanya kitendo bora kunielekea mimi.
-