-
Mathayo 27:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Lakini wakuu wa makuhani wakachukua pesa hizo wakasema: “Si halali kuziweka katika hazina takatifu, kwa sababu ni bei ya damu.”
-
-
Mathayo 27:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 Lakini makuhani wakuu wakachukua hivyo vipande vya fedha na kusema: “Hairuhusiki kisheria kuvitumbukiza ndani ya hazina takatifu, kwa sababu hivyo ni bei ya damu.”
-