-
Mathayo 27:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Gavana akawauliza: “Mnataka niwafungulie nani kati ya hawa wawili?” Wakasema: “Baraba.”
-
-
Mathayo 27:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 Sasa kwa kujibu gavana akawaambia: “Ni yupi wa hao wawili mwataka niwafungulie?” Wakasema: “Baraba.”
-