-
Marko 8:31Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
31 Pia, akaanza kuwafundisha kwamba Mwana wa binadamu lazima apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wanaume wazee na makuhani wakuu na waandishi na kuuawa, na kufufuliwa siku tatu baadaye.
-