-
Luka 13:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Basi akaendelea kusema: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, nitaulinganisha na nini?
-
-
Luka 13:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 Kwa hiyo yeye akaendelea kusema: “Ufalme wa Mungu ni kama nini, nami nitaulinganisha na nini?
-