-
Luka 16:24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Kwa hiyo akamwita, ‘Baba Abrahamu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu, kwa maana ninateseka sana katika moto huu mkali.’
-
-
Luka 16:24Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
24 Kwa hiyo akaita na kusema, ‘Baba Abrahamu, uwe na rehema juu yangu umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake katika maji apoze ulimi wangu, kwa sababu nimo katika maumivu makali katika moto huu wenye kuwaka vikali.’
-