-
Luka 18:39Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
39 Na wale wenye kwenda wakitangulia wakaanza kumwambia kwa kusisitiza afulize kukaa kimya, lakini ndivyo naye alivyofuliza kupaaza sana sauti zaidi na zaidi: “Mwana wa Daudi, uwe na rehema juu yangu.”
-