-
Luka 19:15Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
15 “Mwishowe aliporudi baada ya kupata mamlaka ya kifalme aliamuru waitwe kwake watumwa hao ambao alikuwa amewapa sarafu za fedha, kusudi ahakikishe kile walichokuwa wamepata faida kwa utendaji wa kibiashara.
-