-
Luka 20:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Wakaanza kujadiliana kati yao wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Kwa nini hamkumwamini?’
-
-
Luka 20:5Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
5 Ndipo miongoni mwao wenyewe wakafikia kauli, wakisema: “Tukisema, ‘Kutoka mbinguni,’ atasema, ‘Kwa nini hamkumwamini?’
-