-
Yohana 12:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Umati uliokuwa umesimama hapo ulisikia sauti hiyo ukaanza kusema kumekuwa na mngurumo. Nao wengine wakasema: “Malaika ameongea naye.”
-
-
Yohana 12:29Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
29 Kwa sababu hiyo umati uliosimama huku na huku na kusikia hilo ukaanza kusema kulikuwa kumenguruma. Wengine wakaanza kusema: “Malaika amesema naye.”
-