-
Yohana 16:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Basi walikuwa wakisema: “Anamaanisha nini anaposema, ‘muda kidogo’? Hatuelewi anachozungumzia.”
-
-
Yohana 16:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 Kwa sababu hiyo walikuwa wakisema: “Hili lamaanisha nini ambalo asema, ‘muda kidogo’? Sisi hatujui analoongea juu yalo.”
-