-
Yohana 18:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Kisha Yesu akijua mambo yote ambayo yangempata, akawakaribia na kuwauliza: “Mnamtafuta nani?”
-
-
Yohana 18:4Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
4 Kwa hiyo, Yesu akijua mambo yote yenye kuja juu yake, akatoka na kuwaambia: “Mnatafuta nani?”
-