-
Yohana 18:34Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
34 Yesu akajibu: “Je, unauliza hivyo kwa kujitungia, au uliambiwa na watu wengine kunihusu?”
-
-
Yohana 18:34Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
34 Yesu akajibu: “Je, ni kwa ubuni wako mwenyewe kwamba wasema hilo, au wengine walikuambia juu yangu?”
-