-
Yohana 20:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Yesu akamwambia: “Je, umeamini kwa sababu umeniona? Wenye furaha ni wale ambao wanaamini ingawa bado hawajaona.”
-
-
Yohana 20:29Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
29 Yesu akamwambia: “Kwa sababu umeniona mimi je, umeamini? Wenye furaha ni wale ambao hawaoni na bado waamini.”
-