-
Matendo 11:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Lakini nikasema, ‘Hapana Bwana, kwa sababu kitu chochote najisi au kisicho safi hakijawahi kamwe kuingia kinywani mwangu.’
-
-
Matendo 11:8Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
8 Lakini nikasema, ‘Sivyo hata kidogo, Bwana, kwa sababu kitu najisi au kisicho safi hakijapata kamwe kuingia ndani ya kinywa changu.’
-